sw_tn/mat/26/12.md

348 B

mafuta

Tazama 26:6

kweli nawaambia

"nawambia ukweli" huu ni msisitizo wa kile kilichofuata

popote injili hii itakapohubiriwa

"popote pale watu watakapohubiri injili hii"

kitendo alichofanya huyu mwanamke, pia kitakuwa kinasemwa kwa ajili ya kumkumbuka

"watakumbuka kile ambacho mwanamke huyu amefanya na wataambiwa wengine juu yake"