sw_tn/mat/26/01.md

445 B

Maelezo kwa ujumla

Huu ni mwanzo wa sehehmu mpya wa simulizi amablao linaelezea kusulibiwa kwa Yesu, kufa na kufufuka. Hapa anawaeleza wanafunzi wake jinsi atakavyoteseka

Wakati Yesu alipomaliza

"kisha " au"baadaye"

Maneno haya yote.

Tazama 24:3

Mwana wa Adamu atatolewa ili asulibiwe.

"Baadhi ya watu watamtoa Mwana wa Adamu kwa watu wengine ambao watamsulibisha."

Mwana wa Adamu

Yesu anatumia nafsi ya tatu kuongea juu yake