forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
445 B
Markdown
20 lines
445 B
Markdown
|
# Maelezo kwa ujumla
|
||
|
|
||
|
Huu ni mwanzo wa sehehmu mpya wa simulizi amablao linaelezea kusulibiwa kwa Yesu, kufa na kufufuka. Hapa anawaeleza wanafunzi wake jinsi atakavyoteseka
|
||
|
|
||
|
# Wakati Yesu alipomaliza
|
||
|
|
||
|
"kisha " au"baadaye"
|
||
|
|
||
|
# Maneno haya yote.
|
||
|
|
||
|
Tazama 24:3
|
||
|
|
||
|
# Mwana wa Adamu atatolewa ili asulibiwe.
|
||
|
|
||
|
"Baadhi ya watu watamtoa Mwana wa Adamu kwa watu wengine ambao watamsulibisha."
|
||
|
|
||
|
# Mwana wa Adamu
|
||
|
|
||
|
Yesu anatumia nafsi ya tatu kuongea juu yake
|