forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
431 B
Markdown
28 lines
431 B
Markdown
# Ndipo atawaambia
|
|
|
|
"Ndipo mfalme atawaambia"
|
|
|
|
# Mlio laaniwa.
|
|
|
|
"enyi watu ambao Mungu amewalaani."
|
|
|
|
# Moto wa milele ambao umeandaliwa.
|
|
|
|
"Moto wa milele ambao Mungu ameandaa."
|
|
|
|
# Malaika wake.
|
|
|
|
Wasaidizi wake.
|
|
|
|
# Uchi lakini hamkunivika.
|
|
|
|
"Nilikuwa uchi lakini hamkunipa nguo."
|
|
|
|
# Mgonjwa na niko kifungoni.
|
|
|
|
"Nilikuwa mgonjwa na nilikuwa kifungoni."
|
|
|
|
# nikiwa mgonjwa na nikiwa kifungoni
|
|
|
|
"nilikuwa mgonjwa na nilikuwa gerezani"
|