sw_tn/mat/25/41.md

431 B

Ndipo atawaambia

"Ndipo mfalme atawaambia"

Mlio laaniwa.

"enyi watu ambao Mungu amewalaani."

Moto wa milele ambao umeandaliwa.

"Moto wa milele ambao Mungu ameandaa."

Malaika wake.

Wasaidizi wake.

Uchi lakini hamkunivika.

"Nilikuwa uchi lakini hamkunipa nguo."

Mgonjwa na niko kifungoni.

"Nilikuwa mgonjwa na nilikuwa kifungoni."

nikiwa mgonjwa na nikiwa kifungoni

"nilikuwa mgonjwa na nilikuwa gerezani"