sw_tn/mat/25/31.md

655 B

Sentensi unganishi

Yesu anaanza kuwaambia wanafunzi wake jinsi atakavyowahukumu watu atakaporudi wakatiwa mwisho

Mwana wa Adamu

Yesu anatumia nafsi ya tatu kuongea juu yake mwenyewe

Mataifa yote yatakusanyika mbele zake.

"Atayakusanya mataifa yote mbele zake."

Mbele zake.

"Mbele za uso wake."

Mataifa yote.

"Watu wote kutoka kila nchi."

kama vile mchungaji anavyotenganisha kondoo na mbuzi

Yesuanatumia msemo kuonesha jinsi atakavyowatenganisha watu

atawaweka kondoo mkono wake wa kuume, bali mbuzi atawaweka mkono wake wa kushoto

atawaweka watu wenye haki upande wake wa kuume na atawaweka wenye dhambi upande wake wa kushoto