sw_tn/mat/25/26.md

408 B

Sentensi unganishi

Yesu anaenedelea kueleza mfano wa watumishi na talanta.

Wewe mtumwa mwovu na mzembe.

"wewe ni mtumwa mwovu ambaye hutaki kufanya kazi."

Ninachuma mahali ambapo sikupanda na kuvuna mahali ambapo sikusiha.

Tazama 25:24

Kupokea tena ile yangu.

"Kupokea tena fedha yangu mwenyewe"

Faida.

Malipo yanayotolewa na benki kutokana na matumizi yasiyo ya kudumu ya pesa ya bwana.