forked from WA-Catalog/sw_tn
37 lines
612 B
Markdown
37 lines
612 B
Markdown
# Sentensi ungsnishi
|
|
|
|
Yesu anahitimisha mfano wa wanawali kumi
|
|
|
|
# wakati wameenda huko
|
|
|
|
"Wanawali wapumbavu waliondoka."
|
|
|
|
# kununua
|
|
|
|
"kununua mafuta zaidi"
|
|
|
|
# Wale ambao walikuwa tayari.
|
|
|
|
Wanawali waliokuwa na mafuta ya ziada.
|
|
|
|
# Mlango ulifungwa.
|
|
|
|
"watumishi walifunga mlango."
|
|
|
|
# Tufungulie.
|
|
|
|
"Fungua mlango kwa ajili yetu ili tuingie ndani"
|
|
|
|
# kweli nawaambia
|
|
|
|
"Nawaambia ukweli" Hiiinatia msisitizo wa kile Yesu alichosema baadaye
|
|
|
|
# "Siwatambui ninyi."
|
|
|
|
"Si watambui ninyi ni akina nani" au
|
|
'si wajui ninyi ni akina nani."
|
|
|
|
# kwa kuwa hamjui siku wala saa
|
|
|
|
"Hamjui muda halisi ambao Mwana wa Adamu atakuja"
|