sw_tn/mat/25/10.md

612 B

Sentensi ungsnishi

Yesu anahitimisha mfano wa wanawali kumi

wakati wameenda huko

"Wanawali wapumbavu waliondoka."

kununua

"kununua mafuta zaidi"

Wale ambao walikuwa tayari.

Wanawali waliokuwa na mafuta ya ziada.

Mlango ulifungwa.

"watumishi walifunga mlango."

Tufungulie.

"Fungua mlango kwa ajili yetu ili tuingie ndani"

kweli nawaambia

"Nawaambia ukweli" Hiiinatia msisitizo wa kile Yesu alichosema baadaye

"Siwatambui ninyi."

"Si watambui ninyi ni akina nani" au 'si wajui ninyi ni akina nani."

kwa kuwa hamjui siku wala saa

"Hamjui muda halisi ambao Mwana wa Adamu atakuja"