sw_tn/mat/25/07.md

16 lines
273 B
Markdown

# Sentensi unganishi
Yesu anaendelea kueleza mfano
# Kutayarisha taa zao.
"Wakarekebisha taa zao ili ziwake kwa mng'ao."
# Wapumbavu walisema na welevu.
"Wanawali wapumbavu walisema na wanawali welevu."
# Taa zetu zinazimika
"Moto katika taa zetu unaelekea kuzima."