Sentensi unganishi
Yesu anaendelea kueleza mfano
Kutayarisha taa zao.
"Wakarekebisha taa zao ili ziwake kwa mng'ao."
Wapumbavu walisema na welevu.
"Wanawali wapumbavu walisema na wanawali welevu."
Taa zetu zinazimika
"Moto katika taa zetu unaelekea kuzima."