forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
503 B
Markdown
16 lines
503 B
Markdown
# Sentensi unganishi
|
|
|
|
Yesu anaendelea na mithali yake ya bwana na mtumwa kufafanua kuwa wanafunzi wake wanapaswa kujiandaa kwa ajili y a kurudi kwa Yesu.
|
|
|
|
# Hivyo ni nani mwaminifu, mtumwa mwenye akili, ambaye bwana wake...wakati?
|
|
|
|
"Hivyo ni nani mwaminifu, mtumwa mwenye akili? Ndiye yule ambaye bwana wake...wakati."
|
|
|
|
# Awape chakula chao
|
|
|
|
"Awape watu chakula chao katika mji wa bwana wake"
|
|
|
|
# Kweli nawambia
|
|
|
|
"Nawaambieni ukweli" Hii inaongeza msisitizo wa kile ambacho Yesu atakuja kusema baadaye.
|