sw_tn/mat/24/45.md

503 B

Sentensi unganishi

Yesu anaendelea na mithali yake ya bwana na mtumwa kufafanua kuwa wanafunzi wake wanapaswa kujiandaa kwa ajili y a kurudi kwa Yesu.

Hivyo ni nani mwaminifu, mtumwa mwenye akili, ambaye bwana wake...wakati?

"Hivyo ni nani mwaminifu, mtumwa mwenye akili? Ndiye yule ambaye bwana wake...wakati."

Awape chakula chao

"Awape watu chakula chao katika mji wa bwana wake"

Kweli nawambia

"Nawaambieni ukweli" Hii inaongeza msisitizo wa kile ambacho Yesu atakuja kusema baadaye.