forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
497 B
Markdown
20 lines
497 B
Markdown
# ikiwa bwana mwenye nyumba ... nyumba yake kuvamiwa
|
|
|
|
Yesu anaatumia mfano wa bwana na mtumwa kufafanua kuwa wansfunzi wake wanatakiwa kujiandaa kwa ajili ya kurudi kwa Yesu
|
|
|
|
# Mwizi.
|
|
|
|
Yesu anasema atakuja wakati ambao watu hawamtarajii, siyo kwamba atakuja kuiba.
|
|
|
|
# Angekuwa amelinda.
|
|
|
|
"Angelinda nyumba yake" kuisalimisha.
|
|
|
|
# Na asingeruhusu nyumba yake ivamiwe.
|
|
|
|
"Asingeruhusu mtu yeyote kuingia ndani ya nyumba yake aibe vitu."
|
|
|
|
# Mwana wa Adamu
|
|
|
|
Yesu anatumia nafasi ya tatu kujisemea yeye
|