sw_tn/mat/24/43.md

497 B

ikiwa bwana mwenye nyumba ... nyumba yake kuvamiwa

Yesu anaatumia mfano wa bwana na mtumwa kufafanua kuwa wansfunzi wake wanatakiwa kujiandaa kwa ajili ya kurudi kwa Yesu

Mwizi.

Yesu anasema atakuja wakati ambao watu hawamtarajii, siyo kwamba atakuja kuiba.

Angekuwa amelinda.

"Angelinda nyumba yake" kuisalimisha.

Na asingeruhusu nyumba yake ivamiwe.

"Asingeruhusu mtu yeyote kuingia ndani ya nyumba yake aibe vitu."

Mwana wa Adamu

Yesu anatumia nafasi ya tatu kujisemea yeye