sw_tn/mat/24/40.md

497 B

Sentensi unganishi

Yesu anaanza kuwaambia wanfunzi wake kuwa tayari kwa ajili ya kurudi kwake

Ndipo.

Wakati Mwana wa Adamu ajapo.

Mmoja atachukulia, na mmoja ataachwa nyuma.

Maana za karibu: 1. Mungu atamchukuwa mmoja kwenda mbinguni na ataacha mmoja duniani kwa ajili ya adhabu, au 2. Malaika watamchukua mmoja kwa ajili ya adhabu na kumuacha mwingine kwa ajili ya baraka.

Kinu.

Chombo cha kusagia.

Kwa hiyo.

"Kwa sababu ya kile nilicho waambia."

Kuweni macho.

Kaa tayari.