sw_tn/mat/24/40.md

24 lines
497 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2018-04-12 01:01:04 +00:00
# Sentensi unganishi
Yesu anaanza kuwaambia wanfunzi wake kuwa tayari kwa ajili ya kurudi kwake
# Ndipo.
Wakati Mwana wa Adamu ajapo.
# Mmoja atachukulia, na mmoja ataachwa nyuma.
Maana za karibu: 1. Mungu atamchukuwa mmoja kwenda mbinguni na ataacha mmoja duniani kwa ajili ya adhabu, au 2. Malaika watamchukua mmoja kwa ajili ya adhabu na kumuacha mwingine kwa ajili ya baraka.
# Kinu.
Chombo cha kusagia.
# Kwa hiyo.
"Kwa sababu ya kile nilicho waambia."
# Kuweni macho.
Kaa tayari.