sw_tn/mat/24/37.md

452 B

Kama ilivyokuwa katika siku za Nuhu, ndivyo itakavyokuwa kuja kwa Mwana wa Adamu.

"Siku ambayo Mwana wa Adamu atakuja tena itakuwa kama ilivyokuwa siku za Nuhu,"

Mwana wa Adamu

Yesu anaongea juu yake akaitumia nafsi ya tatu

katika safina na hawakujua kitu

"katika safina. Na watu hawakuju kuwa kuna kitu kilikuwa kinaenda kutokea"

ndivyo itakavyokuwa kuja kwa Mwana wa Adamu

"Hivyo ndivyo itakavyokuwa wakati wa kuja kwa Mwana wa Adamu"