sw_tn/mat/24/34.md

405 B

kweli nawaambia

"Nawaambia ukweli" huu ni msisitizo wa kile kinachosemwa baadaye

Kizazi hiki hakitapita.

"Watu wanaoishi kipindi hiki hawatafariki wote."

Hadi mambo yote haya yatakuwa yametokea.

"Mpaka Mungu asababishe mambo haya yote yatimie."

Mbingu na nchi zitapita.

"Mbingu na nchi hazitaendelea kuwapo."

maneno yangu hayatapita kamwe

"kile ninachosema daima kitabaki kuwa ukweli"