forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
405 B
Markdown
20 lines
405 B
Markdown
|
# kweli nawaambia
|
||
|
|
||
|
"Nawaambia ukweli" huu ni msisitizo wa kile kinachosemwa baadaye
|
||
|
|
||
|
# Kizazi hiki hakitapita.
|
||
|
|
||
|
"Watu wanaoishi kipindi hiki hawatafariki wote."
|
||
|
|
||
|
# Hadi mambo yote haya yatakuwa yametokea.
|
||
|
|
||
|
"Mpaka Mungu asababishe mambo haya yote yatimie."
|
||
|
|
||
|
# Mbingu na nchi zitapita.
|
||
|
|
||
|
"Mbingu na nchi hazitaendelea kuwapo."
|
||
|
|
||
|
# maneno yangu hayatapita kamwe
|
||
|
|
||
|
"kile ninachosema daima kitabaki kuwa ukweli"
|