Sentensi unganishi
Yesu anaendelea kuwaambia wanafunzi wake
Msiamini maneno hayo
"Msiamini mambo ya uongo wanayowaambia."
kwa kusudi la kuwapotosha
"ili kuwafanya watu wasitii"
kupotosha, kama ingeliwezekana hata na wateule
"kupotosha, kama ingeliwezekana, watawafanya hata na wateule kutotii"