sw_tn/mat/24/19.md

373 B

Wao ambao wana mtoto.

"wanawake wenye mimba"

katika siku hizo

"wakati huo"

kukimbia kwenu kusiwe

"kwamba msikimbie"

Wakati wa baridi.

"Majira ya baridi."

kama siku hizo zisingefupishwa, hakuna ambaye angeokoka

"kama Mungu hatazifupisha siku zadhiki watu wote wangekufa"

Wenye mwili

Watu.

siku hizo zitafupishwa

"Mungu atazifupisha siku za dhiki"