sw_tn/mat/24/15.md

354 B

chukizo la uharibifu

"mtu wa aibu atakayevinajisi vitu vya Mungu"

Lililosemwa na nabii Danieli.

"Kuhusu ambacho nabii Danieli aliandika."

asomaye na afahamu

Haya maneno hayakusemwa na Yesu. Matahayo aliongezea haya ili kupata usikivu

Na yule aliyeko juu ya paa

mapaa wakati wa Yesu yalikuwa tambarare, kiasi kwamba watu wangeweza kusimama