sw_tn/mat/24/12.md

687 B

uovu utaongezeka

"watu watafanya dhambi zaidi na zaidi"

Upendo wa wengi utapoa.

Maana ya karibu: 1."watu wengi hawatawapenda wenzao." au 2."watu wengi hawatampenda Mungu."

atakayevumilia

"yeyote atayebaki na uvumilivu"

mpaka mwisho

haieleweki kama "mwisho" inamaanisha mtu anapokufa, au wakati dhiki itakapokoma, au mwisho wa nyakati wakati Mungu atakapojionesha kuwa mfalme. jambo l a kuzingatia hapa ni uvumilivu usiokoma

ataokolewa

"Mungu atamwokoa mtu huyo"

Hii injili ya ufalme itahubiriwa

"Watu watahubiri ujumbe juu ya utawala wa Mungu"

Mataifa yote.

"Watu wote katika sehemu zote."

na ndipo ule mwisho

"mwisho wa ulimwengu" aua "mwisho wa nyakati"