sw_tn/mat/24/01.md

532 B

Sentensi unganishi

Yesu anaanza kueleza matukio amabayo yatakuja tokea kabla hajarudi mara ya pili

alitoka hekaluni

Inaonesha kuwa Yesu hakuwa ndani ya hekalu. alikuwa kwenye korido la hekalu.

Je, hamyaoni mambo haya yote?

"Ngoja niwaambie kitu fulani kuhusu majengo haya yote."

kweli nawambia

"Nawaambia ukweli." huu ni msisitizo wa kile alichosema Yesu badaye

Hakuna jiwe litakalobaki juu ya jiwe lingine ambalo halitabomolewa

"wakati maaskari walio adui watakapokuja, watabomoa kila jiwe juu ya majengo haya"