forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
532 B
Markdown
20 lines
532 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Yesu anaanza kueleza matukio amabayo yatakuja tokea kabla hajarudi mara ya pili
|
||
|
|
||
|
# alitoka hekaluni
|
||
|
|
||
|
Inaonesha kuwa Yesu hakuwa ndani ya hekalu. alikuwa kwenye korido la hekalu.
|
||
|
|
||
|
# Je, hamyaoni mambo haya yote?
|
||
|
|
||
|
"Ngoja niwaambie kitu fulani kuhusu majengo haya yote."
|
||
|
|
||
|
# kweli nawambia
|
||
|
|
||
|
"Nawaambia ukweli." huu ni msisitizo wa kile alichosema Yesu badaye
|
||
|
|
||
|
# Hakuna jiwe litakalobaki juu ya jiwe lingine ambalo halitabomolewa
|
||
|
|
||
|
"wakati maaskari walio adui watakapokuja, watabomoa kila jiwe juu ya majengo haya"
|