forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
730 B
Markdown
28 lines
730 B
Markdown
# nawatuma
|
|
|
|
"nitawatuma." Hapa "ni" inamaanisha Yesu.
|
|
|
|
# juu yenu patatokea damu zote za wenye haki zilizomwagwa duniani
|
|
|
|
"Mungu atawahukumu kwa mauaji ya watu wenye haki"
|
|
|
|
# kuanzia damu ... kwa damu
|
|
|
|
"kutoka mauji hadi ... mauaji"
|
|
|
|
# Kutoka...Abeli...to...Zekaria.
|
|
|
|
Abeli alikuwa mhanga wa kwanza katika mauaji, na Zakaria huenda akafikiriwa kuwa wa mwisho kuuwawa na Wayahudi hekaluni.Watu hawawaili wanawakilisha mauaji ya watu wote wenye haki
|
|
|
|
# Zakaria.
|
|
|
|
Siyo baba yake na Yohana Mbatizaji.
|
|
|
|
# mliyemuua
|
|
|
|
Yesu hamaanisha watu wale aliokuwa akisema nao kuwa ndio waliomua Zekaria. Anamaanisha kuwa mababu zao ndio waliomuua.
|
|
|
|
# Kweli nawaambieni
|
|
|
|
"Nawaambia ukweli." Hii inaongeza msisitizo wa kile Yesu atakachosema baadye.
|