sw_tn/mat/23/34.md

730 B

nawatuma

"nitawatuma." Hapa "ni" inamaanisha Yesu.

juu yenu patatokea damu zote za wenye haki zilizomwagwa duniani

"Mungu atawahukumu kwa mauaji ya watu wenye haki"

kuanzia damu ... kwa damu

"kutoka mauji hadi ... mauaji"

Kutoka...Abeli...to...Zekaria.

Abeli alikuwa mhanga wa kwanza katika mauaji, na Zakaria huenda akafikiriwa kuwa wa mwisho kuuwawa na Wayahudi hekaluni.Watu hawawaili wanawakilisha mauaji ya watu wote wenye haki

Zakaria.

Siyo baba yake na Yohana Mbatizaji.

mliyemuua

Yesu hamaanisha watu wale aliokuwa akisema nao kuwa ndio waliomua Zekaria. Anamaanisha kuwa mababu zao ndio waliomuua.

Kweli nawaambieni

"Nawaambia ukweli." Hii inaongeza msisitizo wa kile Yesu atakachosema baadye.