sw_tn/mat/23/27.md

347 B

kwa kuwa mnafanana na makaburi yaliyopakwa chokaa... kichafu

hii ni kejeli inayoonesha kuwa Mafarisayo na waandishi wanaonekana kuwa safi nje, lakini ndani ni wachafu

makaburi yaliyopakwaa chokaa

"makaburi ambayo mtu ameyapaka chokaa" Wayahudi walipakaa makaburi kwa chokaa ili kuepusha kuyagusa. Kugusa kaburi ilihesabiwa kuwa ni unajisi.