forked from WA-Catalog/sw_tn
8 lines
347 B
Markdown
8 lines
347 B
Markdown
|
# kwa kuwa mnafanana na makaburi yaliyopakwa chokaa... kichafu
|
||
|
|
||
|
hii ni kejeli inayoonesha kuwa Mafarisayo na waandishi wanaonekana kuwa safi nje, lakini ndani ni wachafu
|
||
|
|
||
|
# makaburi yaliyopakwaa chokaa
|
||
|
|
||
|
"makaburi ambayo mtu ameyapaka chokaa" Wayahudi walipakaa makaburi kwa chokaa ili kuepusha kuyagusa. Kugusa kaburi ilihesabiwa kuwa ni unajisi.
|