sw_tn/mat/23/27.md

8 lines
347 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2018-04-12 01:01:04 +00:00
# kwa kuwa mnafanana na makaburi yaliyopakwa chokaa... kichafu
hii ni kejeli inayoonesha kuwa Mafarisayo na waandishi wanaonekana kuwa safi nje, lakini ndani ni wachafu
# makaburi yaliyopakwaa chokaa
"makaburi ambayo mtu ameyapaka chokaa" Wayahudi walipakaa makaburi kwa chokaa ili kuepusha kuyagusa. Kugusa kaburi ilihesabiwa kuwa ni unajisi.