sw_tn/mat/23/16.md

463 B

Viongozi vipofu...wapumbavu.

Tazama 15:12

kwa hekalu, si kitu

"kwa hekalu hawezi kulinda kiapo chake

Amefungwa na kiapo chake.

"Lazima atende kile alichoahidi kufanya."

Kipi ni kikubwa kuliko kingine, dhabu, au hekalu ambalo limeweka wakfu dhahabu ya Mungu?

Hekalu amablo limetumika kuweka wakfu dhahabu kwa Mungu ni la muhimu kuliko dhahabu ile"

Hekalu amabalo limeweka wakfu dhahabu

"Hekalu ambalo hutengeneza dhahabu ni mali ya Mungu pekee"