sw_tn/mat/23/08.md

624 B

Lakini ninyi hampaswi kuitwa

"Msimruhusu mtu yeyote awaite"

ninyi

viwakilishi vyote vya "ninyi" viko katka wingi na vinamaanisha wafauasi wote wa Yesu

wote ni ndugu

Neno "ndugu" linamaanisha "waumini wenzenu"

msimwite mtu yeyeote hapa duniani kuwa baba

"msiseme kwamba mtu yeyote hapa duniani ni baba yenu"

kwa kuwa mnaye baba mmoja tu

"baba" ni cheo muhimu cha Mungu

walla msije mkaitwa

"pia msimruhusu mtu kuwaita"

Kwa kuwa mnaye mwalimu mmoja tu, yaani Kristo

Wakati Yesu aliposema "Kristo" alikuwa anasema juu yake mwenyewe katika nafsi ya tatu. AT: "Mimi, Kristo ndiye mwalimu wenu pekee."