forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
624 B
Markdown
28 lines
624 B
Markdown
|
# Lakini ninyi hampaswi kuitwa
|
||
|
|
||
|
"Msimruhusu mtu yeyote awaite"
|
||
|
|
||
|
# ninyi
|
||
|
|
||
|
viwakilishi vyote vya "ninyi" viko katka wingi na vinamaanisha wafauasi wote wa Yesu
|
||
|
|
||
|
# wote ni ndugu
|
||
|
|
||
|
Neno "ndugu" linamaanisha "waumini wenzenu"
|
||
|
|
||
|
# msimwite mtu yeyeote hapa duniani kuwa baba
|
||
|
|
||
|
"msiseme kwamba mtu yeyote hapa duniani ni baba yenu"
|
||
|
|
||
|
# kwa kuwa mnaye baba mmoja tu
|
||
|
|
||
|
"baba" ni cheo muhimu cha Mungu
|
||
|
|
||
|
# walla msije mkaitwa
|
||
|
|
||
|
"pia msimruhusu mtu kuwaita"
|
||
|
|
||
|
# Kwa kuwa mnaye mwalimu mmoja tu, yaani Kristo
|
||
|
|
||
|
Wakati Yesu aliposema "Kristo" alikuwa anasema juu yake mwenyewe katika nafsi ya tatu. AT: "Mimi, Kristo ndiye mwalimu wenu pekee."
|