sw_tn/mat/23/04.md

733 B

Wanafunga mizigo mizito ambayo ni migumu kubeba, na kisha kuwabebesha watumabegani

"Wanawawekea ninyi kanuni nyingi ambazo ni ngumu kufuata."

Wao wenyewe hawasogezi hata kidole kuibeba

"Wao hawatatoa msaada hata msasada kidogo"

Matendo yao yote huyafanya ili watazamwe na watu

wanafanya mataendo yao kwa kusuadi la kutazamwa na watu

Kwa sababu wao hupanua masanduku yao, na huongeza ukubwa wa mapindo wa mavazi yao

Hivi vyote ni vitu ambavyo Mafarisayo huvifanya ili waonekane kuwa wanamtii Mungu kuliko watu wengine

Masanduku

Haya ni makasha madogo ya ngozi yenye karatasi za maandiko

hongeza ukubwa wa mapindo ya mavazi yao

Mafarisayo huweka mapindo marefu chini ya kanzu zao kuonesha uchaji wao kwa Mungu.