forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
733 B
Markdown
24 lines
733 B
Markdown
|
# Wanafunga mizigo mizito ambayo ni migumu kubeba, na kisha kuwabebesha watumabegani
|
||
|
|
||
|
"Wanawawekea ninyi kanuni nyingi ambazo ni ngumu kufuata."
|
||
|
|
||
|
# Wao wenyewe hawasogezi hata kidole kuibeba
|
||
|
|
||
|
"Wao hawatatoa msaada hata msasada kidogo"
|
||
|
|
||
|
# Matendo yao yote huyafanya ili watazamwe na watu
|
||
|
|
||
|
wanafanya mataendo yao kwa kusuadi la kutazamwa na watu
|
||
|
|
||
|
# Kwa sababu wao hupanua masanduku yao, na huongeza ukubwa wa mapindo wa mavazi yao
|
||
|
|
||
|
Hivi vyote ni vitu ambavyo Mafarisayo huvifanya ili waonekane kuwa wanamtii Mungu kuliko watu wengine
|
||
|
|
||
|
# Masanduku
|
||
|
|
||
|
Haya ni makasha madogo ya ngozi yenye karatasi za maandiko
|
||
|
|
||
|
# hongeza ukubwa wa mapindo ya mavazi yao
|
||
|
|
||
|
Mafarisayo huweka mapindo marefu chini ya kanzu zao kuonesha uchaji wao kwa Mungu.
|