forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
803 B
Markdown
24 lines
803 B
Markdown
# Sentewnsi unganishi
|
|
|
|
Huu nu mwisho wa jitihada za viongozi wa dini kutaka kumkamata Yesu kwa maswali mengi
|
|
|
|
# Maelezo kwa ujumla
|
|
|
|
Huu ni mwisho wa sehemu ya habari hii inayoanzia 19:1, ambayo inaelezea habari za Yesu akihudumia Yuda
|
|
|
|
# Kama Daudi anamwita Kristo "Bwana," kwa namna gani awe mtoto wa Daudi?
|
|
|
|
"Daudi anamwita Yeye Bwana, kwa hiyo Kristo lazima awe zaidi kuliko mzao wa Daudi."
|
|
|
|
# Kama Daudi tena anamwita Kristo.
|
|
|
|
Daudi amemrejea Yesu kama "Bwana" kwa sababu Yesu hakuwa tu mzao wa Daudi, lakini pia alikuwa bora kuliko Daudi.
|
|
|
|
# kumjibu neno
|
|
|
|
"Neno" inamaanisha kile amabacho watu husema. "kumjibu yeye chochote" au " kumjibu"
|
|
|
|
# maswali zaidi
|
|
|
|
Inamaanisha kuwa hakuna aliyemuuliza maswali ya jinsi hiyo ambayo yalikusudiwa kuwaYesu angeyajibu kimakosa ili viongozi wa dini wamkamate
|