sw_tn/mat/22/45.md

803 B

Sentewnsi unganishi

Huu nu mwisho wa jitihada za viongozi wa dini kutaka kumkamata Yesu kwa maswali mengi

Maelezo kwa ujumla

Huu ni mwisho wa sehemu ya habari hii inayoanzia 19:1, ambayo inaelezea habari za Yesu akihudumia Yuda

Kama Daudi anamwita Kristo "Bwana," kwa namna gani awe mtoto wa Daudi?

"Daudi anamwita Yeye Bwana, kwa hiyo Kristo lazima awe zaidi kuliko mzao wa Daudi."

Kama Daudi tena anamwita Kristo.

Daudi amemrejea Yesu kama "Bwana" kwa sababu Yesu hakuwa tu mzao wa Daudi, lakini pia alikuwa bora kuliko Daudi.

kumjibu neno

"Neno" inamaanisha kile amabacho watu husema. "kumjibu yeye chochote" au " kumjibu"

maswali zaidi

Inamaanisha kuwa hakuna aliyemuuliza maswali ya jinsi hiyo ambayo yalikusudiwa kuwaYesu angeyajibu kimakosa ili viongozi wa dini wamkamate