forked from WA-Catalog/sw_tn
521 B
521 B
Sentensi unganishi
Katika 22:32, Yesu ananukuu kutoka kitabu cha Kutoka ili kuhakikisha kuwa watu wataishi tena baada ya kifo
Hamjasoma kile ambacho ...Yakobo?'
"Najua mmekwisha soma, Lakini inaonekana hamkuelewa ambacho...Yakobo.'
Kile kilichosemwa kwenu na.
"Kile alichowaambia Mungu"
Mungu, anasema, Mimi ni...Yakobo?'
"Mungu alimwambia Musa kwamba Yeye, Mungu, ni Mungu wa Abramu,Mungu wa Isaka, na Mungu wa Yakobo."
"Si Mungu wa wafu balini Mungu wawalio hai
wa wafu, bali ni Mungu wa walio hai"