sw_tn/mat/22/31.md

521 B

Sentensi unganishi

Katika 22:32, Yesu ananukuu kutoka kitabu cha Kutoka ili kuhakikisha kuwa watu wataishi tena baada ya kifo

Hamjasoma kile ambacho ...Yakobo?'

"Najua mmekwisha soma, Lakini inaonekana hamkuelewa ambacho...Yakobo.'

Kile kilichosemwa kwenu na.

"Kile alichowaambia Mungu"

Mungu, anasema, Mimi ni...Yakobo?'

"Mungu alimwambia Musa kwamba Yeye, Mungu, ni Mungu wa Abramu,Mungu wa Isaka, na Mungu wa Yakobo."

"Si Mungu wa wafu balini Mungu wawalio hai

wa wafu, bali ni Mungu wa walio hai"