sw_tn/mat/22/25.md

371 B

Sentensi unganishi

Mafarisayo wanaendelea kumwuliza Yesu swali

wa kwanza ... wa pili ... wa saba

namba za mpangiliio

Baada ya wote.

"Baada ya kila ndugu kuwa amemuoa" au " Baada ya kila ndugu kuwa amefariki."

baada ya kufanya hivyo wote

"baada ya kila ndugu kufa"

sasa

Hapa Masadukayo wanabadilisha habari ya ndugu yule wa saba na kuuliza swali halisi