sw_tn/mat/22/20.md

362 B

wa

kiwakilishi "wa" kinamaanisha Maherode na wanafunzi wa Mafarisayo.

Sura na jina hili ni vya nani

Niambieni sura na jina mnavyoviona kwenye hii sarafu ni vya nani?

vya Kaisari.

"Sarafu hii ina sura na jina la Kaisari"

vitu ambavyo ni vya Kaisari

"Vitu ambavyo ni mali ya Kaisari"

Vitu ambavyo ni vya Mungu.

"Vitu ambavyo ni mali ya Mungu."