forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
362 B
Markdown
20 lines
362 B
Markdown
|
# wa
|
||
|
|
||
|
kiwakilishi "wa" kinamaanisha Maherode na wanafunzi wa Mafarisayo.
|
||
|
|
||
|
# Sura na jina hili ni vya nani
|
||
|
|
||
|
Niambieni sura na jina mnavyoviona kwenye hii sarafu ni vya nani?
|
||
|
|
||
|
# vya Kaisari.
|
||
|
|
||
|
"Sarafu hii ina sura na jina la Kaisari"
|
||
|
|
||
|
# vitu ambavyo ni vya Kaisari
|
||
|
|
||
|
"Vitu ambavyo ni mali ya Kaisari"
|
||
|
|
||
|
# Vitu ambavyo ni vya Mungu.
|
||
|
|
||
|
"Vitu ambavyo ni mali ya Mungu."
|