sw_tn/mat/22/08.md

396 B

Sentensi unganishi

Yesu anaendelea kuelezea mfano

walioalikwa

"Wale ambao nimewaalika"

Makutano ya njia kuu.

"Mahali ambapo barabara hukutana." mfalme anawatuma watumishi kwenye maeneo ambayo wana uhakika mkubwa wa kupata watu.

wema na wabaya

"watu wabaya na watu wema"

Hivyo ukumbi wa harusi ulijaa watu

"kwa hivyo wageni waliujaza ukumbi wa harusi"

ukumbi

chumba kikubwa