forked from WA-Catalog/sw_tn
516 B
516 B
Sentensi unganishi
Yesuanaendelea kuelezea mfano
watumishi wengine, akisema waambieni wote walioalikwa
akawaamuru, watumishi wawaambie wale aliowaalika.
Angalieni
"Angalia" au "Sikiliza" au "Kuwa msikivu kwa kile ninachotaka kukuambia."
Fahali na ndama wangu wameuawa
Inamaanisha kuwa wale wanyama wameshapikwa na wako tayari kwa kuliwa. "Watumishi wangu wamechinja na wamewapika mafahali na ndama wangu wanono"
Mafahali na ndama wangu wanono
"Mafahali wangu na ndama wangu walio wazuri kwa kula"