sw_tn/mat/22/04.md

516 B

Sentensi unganishi

Yesuanaendelea kuelezea mfano

watumishi wengine, akisema waambieni wote walioalikwa

akawaamuru, watumishi wawaambie wale aliowaalika.

Angalieni

"Angalia" au "Sikiliza" au "Kuwa msikivu kwa kile ninachotaka kukuambia."

Fahali na ndama wangu wameuawa

Inamaanisha kuwa wale wanyama wameshapikwa na wako tayari kwa kuliwa. "Watumishi wangu wamechinja na wamewapika mafahali na ndama wangu wanono"

Mafahali na ndama wangu wanono

"Mafahali wangu na ndama wangu walio wazuri kwa kula"