forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
516 B
Markdown
20 lines
516 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Yesuanaendelea kuelezea mfano
|
||
|
|
||
|
# watumishi wengine, akisema waambieni wote walioalikwa
|
||
|
|
||
|
akawaamuru, watumishi wawaambie wale aliowaalika.
|
||
|
|
||
|
# Angalieni
|
||
|
|
||
|
"Angalia" au "Sikiliza" au "Kuwa msikivu kwa kile ninachotaka kukuambia."
|
||
|
|
||
|
# Fahali na ndama wangu wameuawa
|
||
|
|
||
|
Inamaanisha kuwa wale wanyama wameshapikwa na wako tayari kwa kuliwa. "Watumishi wangu wamechinja na wamewapika mafahali na ndama wangu wanono"
|
||
|
|
||
|
# Mafahali na ndama wangu wanono
|
||
|
|
||
|
"Mafahali wangu na ndama wangu walio wazuri kwa kula"
|