forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
870 B
Markdown
24 lines
870 B
Markdown
# Mathayo 21 Maelezo ya Jumla
|
|
|
|
## Muundo na upangiliaji
|
|
|
|
Baadhi ya tafsiri hupendelea kuweka kando kidogo nukuu za Agano la Kale. ULB na tafsiri nyingine nyingi za Kiingereza huingiza mistari yote ya 21:5,16 na 42, ambayo ni nukuu kutoka Agano la Kale.
|
|
|
|
## Dhana maalum katika sura hii
|
|
|
|
### Hosana
|
|
|
|
Hili ndilo neno ambalo watu walisema wakipiga kelele walipomkaribisha Yesu huko Yerusalemu. Ilikuwa ni tamko la sifa, ingawa pia ilikuwa neno la Kiebrania linalomaanisha, "Tuokoe!"
|
|
|
|
## Changamoto nyingine za kutafsiri katika sura hii
|
|
|
|
### "Ufalme wa Mungu utaondolewa kutoka kwenu"
|
|
|
|
Wasomi wametofautiana kuhusu maana ya maneno haya. Swali muhimu ni hili: Je, tukio hili itakuwa la kudumu au la muda? Ikiwezekana, uziache wezekano zote mbili kuwa wazi katika tafsiri yako.
|
|
|
|
## Links:
|
|
|
|
* __[Matthew 21:01 Notes](./01.md)__
|
|
|
|
__[<<](../20/intro.md) | [>>](../22/intro.md)__
|