sw_tn/mat/21/intro.md

24 lines
870 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2021-09-10 19:12:24 +00:00
# Mathayo 21 Maelezo ya Jumla
2021-09-10 19:21:44 +00:00
## Muundo na upangiliaji
2021-09-10 19:12:24 +00:00
Baadhi ya tafsiri hupendelea kuweka kando kidogo nukuu za Agano la Kale. ULB na tafsiri nyingine nyingi za Kiingereza huingiza mistari yote ya 21:5,16 na 42, ambayo ni nukuu kutoka Agano la Kale.
2021-09-10 19:21:44 +00:00
## Dhana maalum katika sura hii
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
### Hosana
2021-09-10 19:12:24 +00:00
Hili ndilo neno ambalo watu walisema wakipiga kelele walipomkaribisha Yesu huko Yerusalemu. Ilikuwa ni tamko la sifa, ingawa pia ilikuwa neno la Kiebrania linalomaanisha, "Tuokoe!"
2021-09-10 19:21:44 +00:00
## Changamoto nyingine za kutafsiri katika sura hii
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
### "Ufalme wa Mungu utaondolewa kutoka kwenu"
2021-09-10 19:12:24 +00:00
Wasomi wametofautiana kuhusu maana ya maneno haya. Swali muhimu ni hili: Je, tukio hili itakuwa la kudumu au la muda? Ikiwezekana, uziache wezekano zote mbili kuwa wazi katika tafsiri yako.
## Links:
2021-09-10 19:21:44 +00:00
2021-09-10 19:12:24 +00:00
* __[Matthew 21:01 Notes](./01.md)__
2021-09-10 19:21:44 +00:00
__[<<](../20/intro.md) | [>>](../22/intro.md)__