sw_tn/mat/21/33.md

504 B

Sentensi unganishi

Kuwakemea viongoziwa dini na kufafanua kutokuamini kwao, Yesu anaeleza mfano wa watumishi wapinzani.

Mtu mwenye eneo kubwa la aridhi

"mtu anayemiliki sehemu ya mali"

uzio

"ukuta" au "kizuizi"

akachimba shinikizo

"alichimba shimo la kukamulia zabibu"

akalikodisha kwa watunza zabibu

"kuwaweka wakulima wa mizabibu kuwa wasimamizi wa shamba la mizabibu" Mwenye shamba bado ni mmliki wa shamba.

Wakulima wa mizabibu

watu waliojua jinsi ya kutunza mizabibu na divai