forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
413 B
Markdown
12 lines
413 B
Markdown
# Sentensi unganishi
|
|
|
|
Yesu anatumia mfano wa wana wawili kuwakemea viongozi wa dini na kufafanua kutokuamini kwao
|
|
|
|
# Lakini mnafikiri nini?
|
|
|
|
Yesu anatumia swali ili kuwafanya viongozi wa dini wafikirie zaidi juu ya mfano aliotaka kuwaambia. "Niambieni mnafikiri nini juu ya kile ninachotaka kuwaambia"
|
|
|
|
# akabadilisha mawazo yake
|
|
|
|
Hii inamlenga yule mwana akifikiri kana kwamba alikuwa na fikra zaidi ili achague
|