sw_tn/mat/21/28.md

413 B

Sentensi unganishi

Yesu anatumia mfano wa wana wawili kuwakemea viongozi wa dini na kufafanua kutokuamini kwao

Lakini mnafikiri nini?

Yesu anatumia swali ili kuwafanya viongozi wa dini wafikirie zaidi juu ya mfano aliotaka kuwaambia. "Niambieni mnafikiri nini juu ya kile ninachotaka kuwaambia"

akabadilisha mawazo yake

Hii inamlenga yule mwana akifikiri kana kwamba alikuwa na fikra zaidi ili achague