forked from WA-Catalog/sw_tn
413 B
413 B
Sentensi unganishi
Yesu anatumia mfano wa wana wawili kuwakemea viongozi wa dini na kufafanua kutokuamini kwao
Lakini mnafikiri nini?
Yesu anatumia swali ili kuwafanya viongozi wa dini wafikirie zaidi juu ya mfano aliotaka kuwaambia. "Niambieni mnafikiri nini juu ya kile ninachotaka kuwaambia"
akabadilisha mawazo yake
Hii inamlenga yule mwana akifikiri kana kwamba alikuwa na fikra zaidi ili achague