sw_tn/mat/21/23.md

12 lines
359 B
Markdown

# Sentensi unganishi
Hii inaanzisha habari ya viongozi wa dini wakimhoji Yesu
# alipofika hekaluni
Inamaanisha kuwa Yesu hakuingia hekaluni ndani. Aliingia kwenye korido la hekalu
# mambo haya
Hii inamaanisha mafundisho na uponyaji wa Yesu mle hekaluni. Pia inaweza kumaanisha tukio lililofanyika siku moja kabla la Yesu kuwafukuza wanunuzi na wachuuzi.