forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
359 B
Markdown
12 lines
359 B
Markdown
# Sentensi unganishi
|
|
|
|
Hii inaanzisha habari ya viongozi wa dini wakimhoji Yesu
|
|
|
|
# alipofika hekaluni
|
|
|
|
Inamaanisha kuwa Yesu hakuingia hekaluni ndani. Aliingia kwenye korido la hekalu
|
|
|
|
# mambo haya
|
|
|
|
Hii inamaanisha mafundisho na uponyaji wa Yesu mle hekaluni. Pia inaweza kumaanisha tukio lililofanyika siku moja kabla la Yesu kuwafukuza wanunuzi na wachuuzi.
|